Azarenka kurejea dimbani leo
Mcheza tenesi Victoria Azarenka anarejea tena uwanjani leo hii baada ya kuwa nje ya mchezo huo kwa muda wa Mwaka Mmoja"Bado sijapoteza morali wangu ya kupambana huu ni mwanzo wangu mpya wa kuendeleza kipaji changu." Alinukuliwa Azarenka akiwajibu waandishi wa habari wakati wa maandalizi ya mashindano ya wazi ya Mallorca.
Mchezaji huyu atachuana na Mjapan Risa Ozaki katika raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya wazi ya Mallorca.

Post a Comment