Tangaza Nasi

Majina yaongezwa katika jukwaa la BET 2017

Majina mengine ya wasanii wanaotarajiwa kuwasha moto kwa kutumbuiza kwenye jukwaa la tuzo za BET mwaka huu yametajwa.

Wasanii waliotajwa kwenye orodha hiyo ni pamoja na Mary J. Blige, A$AP Rocky, French Montana, Gucci Mane, Maxwell, Swae Lee, SZA, Xscape, Khalid, El DeBarge and musician Kamasi Washington.

Wasanii wengine ambao wanatarajiwa kutumbuiza siku hiyo ni pamoja na Bruno Mars, Chris Brown, Dj Khaled, Migos, Future na Tamar Braxton.

Tuzo hizo zitafanyikaJuni 25 katika ukumbi wa Microsoft Theater in Los Angeles.

Jiunge na BongoTune sasa 

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,  na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo Tune

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.