Tangaza Nasi

Music: Wizkid f/ Chris Brown – African Bad Gyal


 Hakuna msanii wa kumkamata Wizkid kwa sasa Afrika kutokana na level aliyofikia. Muimbaji huyo wa Nigeria ameachia wimbo mwingine aliomshiikisha Chris Brown ‘African Bad Gyal’, huu ni wimbo wa tatu kwa wasanii hawa kufanya pamoja.




Jiunge na BongoTune sasa

Jiunge na BongoTune sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo Tune

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.