Watoto Hubakwa, Kulawitiwa au Kuliwa na Fisi Nyakati za Usiku
Imeripotiwa
kuwa, Watoto 10 wenye umri wa kati ya miaka 6-12 wakazi wa Kata ya
Mhongolo, Ngogwa na Wendele wamebakwa na kulawitiwa na wengine wakiliwa
na fisi kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita
Mkaguzi wa Jeshi la Polisi na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Tiho Masatu amesema hayo yalitokea walipoagizwa dukani nyakati za usiku huku akisema Polisi ikishirikiana na Idara ya Wanyamapori wataendelea msako wa kuwatafuta wanyama hao
Mkaguzi wa Jeshi la Polisi na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Tiho Masatu amesema hayo yalitokea walipoagizwa dukani nyakati za usiku huku akisema Polisi ikishirikiana na Idara ya Wanyamapori wataendelea msako wa kuwatafuta wanyama hao
Post a Comment