Tangaza Nasi

Haji Manara atolewa kifungoni

Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemuachia huru  Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba Sports Club, Haji Sunday Manara na sasa kuendelea na majukumu yake.

Manara alifungiwa kwa kutojihusisha na mchezo wa soka kwa muda wa miezi 12 na kutakiwa kulipa faini ya shilingi milioni tisa kwa utovu wa nidhamu wa kutoa matamshi yasiyo na stahiki kwa viongozi wa TFF pamoja na vyombo vya uongozi wa mchezo huo.

Jiunge na BongoTune sasa 

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,  na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo Tune


Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.