Tangaza Nasi

Kampeni za Uchaguzi Mkuu nchini Rwanda zaanza

"....Mkutano wa uzinduzi wa kampeni za rais wa Rwanda Paul Kagame..."
.......................................................................................................................................................................................................... 
Kampeni za Uchaguzi Mkuu chini Rwanda zimeanza siku ya Ijumaa.

Rais wa sasa Paul Kagame wa chama cha RFP, Frank Habineza wa Democratic Green Party of Rwanda na mgombea binafsi Philippe Mpayimana wote kwa pamoja wamechaguakuanza kampeni zao za nje a jiji la Kigali.

Wagombea hawa wanatarajiwa kutumia siku 19 kuzunguka nchi nzima wakifanya mikutano ya hadhara na kuomba kuchaguliwa na wananchi wa Rwanda katika uchaguzi ambao hata hivyo rais Kagame anapewa nafasi ya kushinda kirahisi.
"..Mgombea urais binafsi Philippe Mpayimana akiwa katika kampeni ya kukutana na wananchi katika wilaya ya Bugesera.."
.......................................................................................................................................................................................................
Rwanda bado inaendelea kupona majeraha ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994, yaliyosababisha zaidi ya vifo vya Wanyarwanda 800,000.

Jiunge na BongoTune sasa 

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,  na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo Tune

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.