Zaidi ya Tembo 40 wauawa DRC, mwaka huu
Maafisa kutoka Hifadhi ya Taifa ya
Garamba nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesema kuwa Tembo 45
wameuawa tangu mwanzo wa mwaka huu.
Ripoti zinasema Ndovu hao huuawa na makundi ya waasi nchini DRC, wapiganaji wa kundi la waasi wa LRA kutoka Uganda, na waasi wa Sudan Kusini.


Post a Comment