Tangaza Nasi

Zaidi ya Tembo 40 wauawa DRC, mwaka huu


Maafisa kutoka Hifadhi ya Taifa ya Garamba nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesema kuwa Tembo 45 wameuawa tangu mwanzo wa mwaka huu. 

Maafisa hao wanasema endapo uhalifu huo utaendelea kukithiri, Tembo huenda wakapotea kabisa katika mbuga hiyo, ambayo ni moja ya maeneo yaliyo na tembo wengi zaidi barani afrika.

Ripoti zinasema Ndovu hao huuawa na makundi ya waasi nchini DRC, wapiganaji wa kundi la waasi wa LRA kutoka Uganda, na waasi wa Sudan Kusini.

Jiunge na BongoTune sasa 

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,  na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo Tune

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.